2 Kings 5:5
5 aMfalme wa Aramu ▼▼ Yaani mfalme wa Shamu.
akamjibu, “Hakika, nenda. Nitatuma barua kwa mfalme wa Israeli.” Kwa hiyo Naamani akaondoka, akiwa amechukua talanta kumi ▼▼ Talanta 10 za fedha ni sawa na kilo 340.
za fedha, shekeli 6,000 za dhahabu, ▼▼ Shekeli 6,000 za dhahabu ni sawa na kilo 70.
na mivao kumi ya mavazi.
Copyright information for
SwhKC