2 Kings 5:5

5 aMfalme wa Aramu
Yaani mfalme wa Shamu.
akamjibu, “Hakika, nenda. Nitatuma barua kwa mfalme wa Israeli.” Kwa hiyo Naamani akaondoka, akiwa amechukua talanta kumi
Talanta 10 za fedha ni sawa na kilo 340.
za fedha, shekeli 6,000 za dhahabu,
Shekeli 6,000 za dhahabu ni sawa na kilo 70.
na mivao kumi ya mavazi.
Copyright information for SwhKC